manula

Manula Basi Tena Simba Sc

Golikipa wa Simba sc na Timu ya Taifa ya Tanzania Aishi Manula ataikosa michezo miwili ya robo fainali ya Klabu yake ya Simba dhidi ya Al Ahly kutokana na kupata majeraha akiwa na Timu ya Taifa ilipokua ikicheza na Bulgaria nchini Azerbaijan. Manula aliumia kipindi cha kwanza katika mchezo huo na taarifa zinaeleza kuwa Manula…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks