Mayele Apenya Afrika
Mshambuliaji wa zamani wa Yanga, Fiston Mayele ambaye kwasasa anakipiga Pyramids Fc ya nchini Misri ameingia tatu bora katika tuzo ya mchezaji wa mashindani CAF akiburuzana na staa wa Al Ahly, Percy Tau na Petter Shalulile anayekiwasha Mamelodi Sundowns ya Afrika Kusini. Staa huyo raia wa Congo DRC amefanikiwa kuingia tatu bora baada ya kuwa…
