Simba sc Yailaza Geita Gold Sc
Klabu ya Simba sc ikitoka nyuma kwa 1-0 imefanikiwa kushinda kwa mabao 4-1 katika mchezo wa ligi kuu ya soka ya Nbc dhidi ya klabu ya Geita Gold Sc uliofanyika katika uwanja wa Azam Complex Chamazi jijini Dar es salaam. Ilimpasa kocha Juma Mgunda kufanya kazi ya ziada baada ya kutanguliwa kufungwa dakika ya Geofrey…
