Screenshot 20241217 093420 Instagram

Guede Aondoka Singida Black Stars

Mshambuliaji wa klabu ya Singida Black Stars Joseph Guede amefikia makubaliano ya kuvunja mkataba wake na klabu hiyo kutokana na makubaliano ya pande zote. Guede aliyesajiliwa klabuni hapo akitokea Yanga sc amefanikiwa kucheza mechi sita pekee za ligi kuu mpaka sasa ambapo hajafanikiwa kufunga bao lolote. Uwepo wa washambuliaji Elvis Rupia,Athur Bada na Victorien Adebayo…

Soma Zaidi
428601613 957992449020020 6232558887549032535 n

Guede Afungua Akaunti ya Mabao Yanga sc

Mshambuliaji mpya wa klabu ya Yanga sc Joseph Guede ameanza rasmi kazi ya kutupia nyavuni baada ya kufanikiwa kufunga mabao mawili katika ushindi wa 5-0 ilioupata Yanga sc dhidi ya Polisi Tanzania siku ya Jumanne jioni. Guede alifunga mabao hayo dakika za 13 na 45 akipokea pasi nzuri kutoka kwa Augustine Okrah ambapo alifanikiwa kufunga…

Soma Zaidi
424557504 945830373569561 8852269773764342306 n

Guede Aguswa na Mapokezi Yanga sc

Mshambuliaji mpya wa Yanga Sc, Joseph Guede ameweka wazi zoezi lake la kwanza ndani ya klabu yake hiyo ni kufanya makubwa kwa sababu Yanga ni timu kubwa yenye malengo ya kufanya vizuri katika michezo iliyopo mbele yao ikiwemo Ligi Kuu Tanzania Bara na Ligi ya Mabingwa Afrika. Guede ametambulishwa rasmi jana katika mechi ya kombe…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks