Screenshot 20241011 154203 Instagram

Hamza Mbioni Kurejea Simba sc

Beki wa klabu ya Simba Sc Abdulrazak Hamza leo amefanyiwa vipimo vya afya kwa awamu ya pili ili kufahamu maendeleo ya majeraha yake yanayomsumbua ambayo yamesababisha akosekane mazoezini mwa klabu hiyo. Hamza aliumia katika mchezo wa ligi kuu ya Nbc nchini dhidi ya Dodoma Jiji ambapo Simba sc waliibuka na ushindi wa 1-0 na kisha…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks