Lebo: Hersi
Hersi Aitamani World Cup
Rais wa Yanga, Hersi Said amesema malengo ya timu hiyo ni kuhakikisha inakuwa moja ya klabu bora barani Afrika huku yeye binfasi akitamani kuona mwakani wakiingia kwenye timu nne bora Afrika ili waweze kushiriki Kombe la Dunia kwa ngazi ya klabu. Hersi ambaye pia ni Rais wa Shirikisho la vilabu barani Afrika (ACA) alisema hayo…
