floibeng1

Ibenge Kutua Azam Fc

Klabu ya Azam Fc ipo katika hatua za mwisho kumalizana na kocha Frolent Ibenge kuchukua nafasi ya Rachid Taoussi kuifundisha klabu hiyo yenye makazi yake Chamazi jijini Dar es Salaam. Mabosi wa klabu hiyo hawana mpango wa kuendelea na kocha Taoussi pamoja na benchi lake la ufundi hivyo wameamua kutafuta kocha mpya kwa ajili ya…

Soma Zaidi
Screenshot 20241105 230333 Facebook

Al Hilal Omdurman Yamnyemelea Fadlu

Klabu ya soka ya Al Hilal ya Sudan imependekeza jina la kocha wa Simba Sc raia wa Afrika kusini Fadru Davis kuwa kipaumbele Chao Cha kwanza kukinoa kikosi chao kuanzia msimu ujao. Mabosi wa klabu hiyo wamefikia uamuzi huo baada ya kuwa na uhakika kuwa kocha wao wa sasa Florent Ibenge anatimka kikosini humo mwishoni…

Soma Zaidi
6201c07b edef 4f2d 8703 fb9614ee0743

Azam Fc Yakomaa na Ibenge

Klabu ya Azam Fc imeanza mazungumzo na kocha wa klabu ya Al Hilal Fc Florent Ibenge ili kuinoa klabu hiyo kuchukua nafasi ya kocha Yousouph Dabo iliyemtimua wiki iliyopita. Azam Fc inaamini Ibenge ni mtu sahihi kuchukua nafasi ya Dabo kutokana na kuwa na wasifu mzito akizifundisha klabu za As Vita,Rs Berkane na kufanikiwa kuzipatia…

Soma Zaidi
Snapinsta.app 402671057 1014142783189993 1909145228698512940 n 1080

Kmc Kujipima kwa Al Hilal Fc

Wakati kikosi cha Al Hilal Fc kikiwa hapa nchini kujiandaa na michuano ya kimataifa kesho kinatarajiwa kukutana na Kmc Fc kucheza mchezo wa kirafiki utakaofanyika katika uwanja wa Baobab uliopo mjini Bagamoyo. Al Hilal Fc ikiwa chini ya kocha Florent Ibenge imechagua kutumia uwanja wa Benjamin Mkapa kama uwanja wa nyumbani katika michuano ya kombe…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks