Yanga Sc Kileleni na 5G
Klabu ya Yanga sc imefanikiwa kusimama kileleni mwa msimamo wa ligi kuu nchini baada ya kuifunga Ihefu Fc kwa mabao 5-0 katika mchezo uliofanyika katika uwanja wa Chamazi Jijini Dar es salaam jioni ya leo Jumatatu ya Machi 10 2024. Yanga sc ilianza kupata bao la mapema dakika ya tisa ya mchezo kupitia kwa Pacome…
