Israel Aongeza Mkataba Simba Sc
Ikiwa katika maboresho makubwa ya kikosi chake,Klabu ya Simba Sc imefanikiwa kumuongeza mkataba beki Israel Mwenda mpaka mwaka 2026 ambapo amesaini mkataba wa miaka miwili kusalia klabuni hapo. Simba Sc imeona umuhimu wa kumbakisha beki huyo ambaye mkataba wake wa miaka miwili ulikua unafika tamati Juni 30 mwaka huu ambapo katika dili hilo jipya staa…
