Snapinsta.app 400527450 6744430688986104 8459755777713198228 n 1080

Msuva Majanga Tupu

Klabu ya JS Kabylie ya Algeria  imetangaza kufikia makubaliano ya pande zote mbili ya kuvunja mkataba wa aliyekua mchezaji wao raia wa Tanzania, Simon Msuva ambapo mpaka sasa sababu ya kuvunja mkataba huo haijawekwa wazi. Kupitia mtandao wao wa kijamii wa Instagram wa klabu hiyo wameeleza kuwa wamevunja mkataba huo kwa amani na wanamtakia mafanikio…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks