7

Red Arrows Mabingwa Kagame Cup

Klabu ya Red Arrows ya Zambia imeibuka mabingwa wa michuano ya Kagame Cup iliyokuwa inafanyika nchini Tanzania katika uwanja wa Manispaa ya Kinondoni baada ya kuifunga APR Fc ya nchini Rwanda kwa penati 10-9 baada ya kutoka 1-1 katika dakika 90 za kawaida. Red Arrows inakuwa timu ya kwanza kutoka nje ya Ukanda wa Afrika…

Soma Zaidi
1662120567355 Untitled

Songombingo Kagame Cup

Zikiwa zimesalia takribani wiki mbili michuano ya Kagame Cup ianze nchini Tanzania,mpaka sasa timu mwenyeji za Simba Sc,Yanga Sc na Azam Fc ambazo zilitajwa kushiriki michuano hiyo zina mpango wa kutoshiriki kutokanwa na kubanwa na ratiba za maandalizi ya msimu. Timu hizo zenye hadhi kubwa Afrika mashariki na kati kiasi cha kuwa kivutio kikubwa katika…

Soma Zaidi
434743264 969095695224304 8791109743924462192 n

Azam Fc Yajitoa Kagame Cup

Klabu ya soka ya Azam Fc ya jijini Dar es salaam imetangaza kujitoa katika michuano ya soka ya Kagame Cup inayotarajiwa kufanyika nchini Tanzania Visiwani Zanzibar kuanzia Julai 6 mwaka huu katika uwanja wa Amani Visiwani Zanzibar. Akitangaza uamuzi huo Meneja wa Idara ya habari ya klabu hiyo Zakaria Thabit alisema kuwa timu hiyo haitashiriki…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks