Simba Sc Yabanwa Kagera
Klabu ya Simba sc imeshindwa kuibuka na alama tatu baada ya kulazimishwa sare ya 1-1 na Kagera Sugar katika mchezo wa ligi kuu uliofanyika katika uwanja wa Kaitaba wilayani Bukoba mkoani Kagera na kuambulia alama moja pekee. Sare hiyo imeiweka rehani nafasi ya pili ya ligi kuu baada ya Simba sc kuwa na wakati mgumu…
