FB IMG 1748612118325

Simba Sc Waigomea Kaizer Chiefs

Klabu ya Simba sc imewasiliana na klabu ya Kaizer Chiefs kuwa haitafanya biashara ya kumuuza winga wao Kibu Denis Prosper ambae anahitajika na klabu hiyo chini ya kocha Nasredine Nabi. Katika taarifa hiyo klabu hiyo imeeleza kuwa hawana nia ya kumuachia mchezaji huyo kujiunga na Kaizer Chiefs kwakuwa bado wana malengo nae kuelekea msimu ujao…

Soma Zaidi
FB IMG 1748612118325

Nabi Akomaa na Kibu Dennis

Kocha wa klabu ya Kaizer chiefs Nasredine Nabi ameonyesha nia ya kumsajili mshambuliaji Kibu Dennis kujiunga na klabu hiyo msimu ujao wa ligi kuu nchini humo. Nabi ambaye yupo nchini Tanzania kwa mapumziko baada ya ligi kuu ya nchini Afrika ya kusini kufika mwisho moja ya jambo alilolifanya ni kuzungumza na wawakilishi wa mshambuliaji huyo…

Soma Zaidi
FB IMG 1744119896951

Kaizer Chiefs Yakomaa na Feisal

Uongozi wa Kaizer Chiefs utajaribu kutimiza ndoto  za mashabiki wao kwa kumpata Feisal Salum kutoka klabu ya Azam Fc licha kuwa mchezaji huyo ana ofa nyingi ndani na nje ya nchi. Mashabiki wa Kaizer Chiefs wanaamini Feisal ni mchezaji sahihi kwao ambaye anaweza kuirudisha timu yao katika hadhi ya kimataifa, Kaizer wanataka kutengeneza timu kupitia…

Soma Zaidi
kaze

Kaze Kutua Kaizer Chiefs

Kocha wa zamani wa klabu za Yanga sc na Namungo Fc Cedrick Kaze amepata ofa ya kujiunga na timu ya Kaizer Chiefs kama kocha msaidizi wa Nasredine Nabi aliyefanya nae kazi katika klabu ya Yanga sc. Kaze amepata dili hilo baada ya kuhitajika na kocha mkuu Nabi na sasa wameshakubaliana kila kitu na mabosi wa…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks