Kaze Kutua Kaizer Chiefs
Kocha wa zamani wa klabu za Yanga sc na Namungo Fc Cedrick Kaze amepata ofa ya kujiunga na timu ya Kaizer Chiefs kama kocha msaidizi wa Nasredine Nabi aliyefanya nae kazi katika klabu ya Yanga sc. Kaze amepata dili hilo baada ya kuhitajika na kocha mkuu Nabi na sasa wameshakubaliana kila kitu na mabosi wa…
