Screenshot 20250203 203855 Instagram

Morrison Bado Sana

Pamoja na shauku ya mashabiki wa klabu ya Kengold Fc kumuona uwanjani mshambuliaji wao mpya Bernard Morrison itawalazimu kusubiri kwa muda kutokana na staa huyo kutokua fiti kutumika katika michezo ya ligi kuu nchini. Punde tu baada ya kusajiliwa kocha wa timu hiyo Vladislav Heric aliamuru staa huyo kupewa mazoezi maalumu ili kurejesha utimamu wake…

Soma Zaidi
Screenshot 20250122 211437 Instagram

Kocha Mpya Kengold Fc Usipime

Kocha mpya wa Kengold Fc Vladislav Heric amekuja Tanzania akiwa na Jukumu la kuhakikisha wakazi wa Chunya wanaendelea kuiona timu yao katika ligi kuu ya Nbc nchini. Heric ni miongoni mwa makocha wanaolijua vyema soka la Afrika ingawa Maisha yake amezifundisha timu nyingi za Afrika Kusini ambapo alifanya vizuri kulingana na aina ya timu alizokua…

Soma Zaidi
FB IMG 1735922396644

Morrison Kutua Kengold Fc

Nyota wa zamani wa klabu za Simba Sc na Yanga Sc Bernard Morrison yupo mbioni kujiunga na Klabu ya Kengold Fc yenye makazi yake Wilayani Chunya Jijini Mbeya. Nyota huyo raia wa Ghana anajiunga na miamba hiyo ya Mbeya kwa mkataba wa miezi 6 kama mchezaji huru ukiwa ni moja ya mikakati ya mabosi wa…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks