Kibu Dennis Azua Maswali
Mpaka sasa staa wa klabu ya Simba sc Kibu Dennis hajaripoti kambini nchini Misri kuungana na mastaa wengine ambao wanajifua vilivyo chini ya kocha mpya Fadlu Davis ambaye ametua klabuni hapo msimu huu na sasa anatafuta kikosi cha kwanza kwa ajili ya msimu ujao. Inasemekana kuwa staa huyo ana mgomo baridi unaotokana na kupata ofa…
