Kibwana Asalia Yanga Sc
Beki wa Kulia Kibwana Shomari ameongeza mkataba wa miaka miwili kusalia katika klabu ya Yanga sc baada ya ule wa awali kufikia tamati msimu huu uliotamatika kwa klabu hiyo kutetea mataji mawili ya ligi kuu na kombe la Shirikisho nchini. Kibwana awali tetesi zilivuma kuwa anahitajika na klabu ya Azam Fc lakini uimara wa Rais…
