Lawi Kuitumikia Coastal Union
Imefahamika kuwa mchezaji Lameck Lawi ataitumikia klabu ya Coastal Union baada ya mabosi wa klabu hiyo kufikia makubaliano na klabu ya Simba sc ili mchezaji huyo asalie klabuni hapo. Awali ilifahamika kuwa mchezaji huyo alisaini Simba sc lakini kutokana na kukiukwa kwa baadhi ya vipengele vya makubaliano basi mabosi wa klabu hiyo waliamua kumpeleka nje…
