FydIPDeWcAI6Cjl

Diarra Atwaa Tuzo

Golikipa wa Klabu ya Yanga sc Djigui Diarra ameshinda tuzo ya mchezaji bora Afrika msimu 2023 | 24, tuzo hizi hutolewa nchini Mali kwa wachezaji wao waliofanya vizuri kwa msimu husika (Mali Football Awards). Kipa huyo namba moja nchini Tanzania ametwaa tuzo hiyo akiwashinda wachezaji wenzake Aliou Dieng wa Al-Ahly ya nchini Misri, Sadio Kanoute…

Soma Zaidi
3864362 78520168 2560 1440

Diarra Aipa Alama 3 Mali

Kipa wa klabu ya Yanga sc Djigui Diarra amefanikiwa kuisaidia timu ya Taifa ya Mali kupata alama tatu katika mchezo wa kwanza wa michuano ya mataifa ya Afrika (Afcon 2024) dhidi ya Afrika ya Kusini uliofanyika katika uwanja wa  Amadou Gon Coulibaly. Katika mchezo huo kipa huyo alianza katika kikosi cha kwanza ambapo alifanikiwa mara…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks