Yanga Sc Yawasili Afrika Kusini
Msafara wa wachezaji,Mashabiki na viongozi wa klabu ya Simba sc umewasili salama nchini Afrika kusini tayari kwa mchezo wa marudiano wa hatua ya robo fainali dhidi ya Mamelod Sundowns ya nchini Afrika ya kusini utakaofanyika jijini Pretoria siku ya ijumaa saa tatu usiku. Kikosi hicho mapema kiliwasili katika uwanja wa Oliver Tambo jijini Johanesburg kisha…
