426649126 951051316380800 3084405876531100155 n

Yanga sc Yajichimbia Kileleni

Klabu ya Yanga sc imejikita kileleni mwa msimamo wa ligi kuu nchini baada ya kuibamiza Mashujaa Fc kwa mabao 2-1 katika mchezo wa ligi kuu nchini uliofanyika katika uwanja wa Chamazi jijini Dar es salaam. Ikianza kikosi na washambuliaji wake wawili Joseph Guede na Clement Mzize Yanga sc ilishambulia kwa kasi sambamba na kumiliki mchezo…

Soma Zaidi
download 2

Lusajo,Ame Watua Mashujaa Fc

Klabu ya Mashujaa Fc ya mkoani Kigoma imekamilisha usajili wa mastaa wawili wa nguvu Ibrahim Ame na Reliants Lusajo kuja kuongeza nguvu katika kikosi cha timu hiyo kilichopo mkiani mwa msimamo wa ligi kuu nchini. Mashujaa Fc iliyopanda daraja msimu huu imekua na matokeo yasiyoridhisha baada ya kuanza vizuri msimu katika mechi za awali ambapo…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks