Screenshot 20250111 191340 Instagram

Mgunda Arejea Mashujaa Fc

Mshambuliaji wa klabu ya Mashujaa Fc Ismail Mgunda amerejea nchini baada ya dili lake kujiunga na klabu ya As Vita ya nchini Dr Congo kufeli kwa sababu za kimaslahi. Mgunda alimvutia kocha Yousouph Dabo wa As Vita ambaye aliuagiza uongozi wa klabu hiyo kumsajili staa ambapo dili lilielekea kuzuri kiasi cha Mshambuliaji huyo kusafiri kwenda…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks