Awesu Awesu Aleta Utata Simba Sc,Kmc
Klabu za Simba Sc na Kmc zimeingia katika mgogoro kuhusu usajili wa kiungo mshambuliaji Awesu Awesu ambaye tayari ametambulishwa na Simba Sc akijiunga na klabu hiyo kwa mkataba wa miaka miwili. Kmc wamesisitiza kuwa usajili huo ni batili kwa kuwa mchezaji huyo ana mkataba na klabu hiyo wa miaka mwaka mmoja utakaoisha mwaka 2015 huku…
