Lebo: Miguel Gamondi
Bodi ya Ligi Yamshukia Gamondi
Kamati maalumu ya usimamizi wa ligi kuu chini ya bodi ya ligi kuu nchini imempiga faini ya shilingi milioni mbili aliyekua kocha wa klabu ya Yanga sc Miguel Gamondi kwa kosa la kumsukuma kocha msaidizi wa klabu ya Singida Black Stars Sliman Marloen katika mchezo wa ligi kuu namba 32 uliofanyika katika uwanja wa New…
