Mkude Ashindwa Kesi ya Metl
Kiungo wa klabu ya Yanga sc Jonas Mkude ameshindwa kesi aliyoifungua mahakamani dhidi ya Kampuni ya Mohamed Enterprises Limited akidai fidia ya kiasi cha bilioni moja kutokana na Kampuni hiyo kutumia picha zake katika mitandao yake ya kijamii. Mkude alidai kuwa Julai 12 mwaka 2022 Kampuni hiyo iliposti picha zake akitangaza matangazo ya bidhaa za…
