Mukwala Atwaa Tuzo Machi 2025
Mshambuliaji wa klabu ya Simba sc Stephen Desse Mukwala amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa ligi kuu ya Nbc kwa mwezi machi akiwashinda Ellie Mpanzu na Pascal Msindo wa klabu ya Azam Fc ambao aliingia nao Fainali. Kamati ya Tuzo iliyochini ya bodi ya ligi kuu ilimchagua Mukwala kutokana na kuonyesha kiwango kizuri akifunga mabao manne…
