Snapinsta.app 425340204 18411586207056691 3392788448918073196 n 1080 1024x1024 1

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi amekutana na Mkuu wa masoko na mauzo wa timu ya Chelsea ya England Barnes Hampel pamoja ujumbe wake Ikulu Zanzibar siku ya Februari mosi, 2024. Katika mazungumzo yao wamezungumzia kuhusu kuitangaza Zanzibar katika sekta ya utalii na kuanzishwa kwa Academy za mpira…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks