Lebo: Mzize
Taifa Stars Robo Fainali kwa Kishindo CHAN 2024
Taifa Stars Robo Fainali kwa Kishindo Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa) imefanikiwa kunogesha kufuzu kwa hatua ya robo fainali ya michuano ya Mataifa ya Afrika kwa wachezaji wa ndani (Chan) baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Madagascar katika mchezo uliofanyika katika uwanja wa Benjamini Mkapa jijini Dar es salaam siku…
Yanga Sc Yakubali Kumuuza Mzize (21)
Yanga Sc Yakubali Kumuuza Mzize Klabu ya Yanga sc imekubali dau la takribani bilioni mbili za kitanzania ili kumuuza mshambuliaji Clement Mzize kwenda klabu ya Al Sadd inayoshiriki ligi kuu ya soka nchini Qatar. Mabosi wa Yanga sc baada ya kugomea ofa kadhaa za kumuuza mchezaji huyo ikiwemo ofa mbili kutoka klabu za Al Ittihad…
Al Ittihad Yawavuta Mzize na Aziz Ki
Klabu ya Yanga sc imefikia makubaliano na klabu ya Al-Ittihad Fc ya nchini Libya kuwasajili mastaa wake Clement Mzize na Stephan Aziz Ki kwa dau linalokadiriwa kufikia kiasi cha bilioni 4 za kitanzania. Kazi kubwa sasa iliyopo kwa klabu hiyo ni kufikia makubaliano binafsi na wachezaji hao baada ya klabu ya Yanga sc kukubali kuwauza…
Azam Fc Yatua Kwa Mzize
Klabu ya Azam Fc imeonyesha nia ya kuinasa saini ya mshambuliaji wa klabu ya Yanga sc Clement Mzize baada ya kutuma ofa ya shilingi milioni mia nne kwa klabu ya Yanga sc ili kumsajili mchezaji huyo aliyesaliwa na mkataba wa mwaka mmoja klabuni hapo. Azam Fc inaamini kuwa Mzize ni mbadala sahihi wa mshambuliaji Prince…
