Lebo: Nabi
Nabi Aangukia kwa Mabululu
Kocha wa zamani wa klabu ya Yanga Sc Nasredine Nabi amevutiwa na mshambulia wa Al Ittihad ya Libya na sasa klabu yake ya Kaizer Chiefs imefungua mazungumzo rasmi na mshambuliaji huyo ili kumsajili kuunda kikosi kikali cha msimu ujao wa ligi kuu ya soka ya Mtn nchini Afrika ya Kusini. Kaizer Chiefs inafahamu kuwa mchezaji…
