Screenshot 20250122 153306 Instagram

Mbuna Akimbilia Tanzania Prisons

Mchezaji wa zamani wa Yanga Sc na Majimaji FC Fred Mbuna, amejiunga na Tanzania Prisons kama kocha msaidizi wa timu hiyo ambayo Disemba 28, 2024 ilitangaza kuvunja mkataba wa aliyekuwa kocha wao mkuu Mbwana Makata. Mbuna kabla ya kujiunga na Tanzania Prisons alikuwa Kocha Msaidizi wa timu ya Yanga Princess akisaidiana na kocha Edna Lema….

Soma Zaidi
Screenshot 20241219 113428 Instagram

Chama,Diarra Kuwakosa Mashujaa Fc

Klabu ya Yanga sc ikielekea mchezo wa ligi kuu dhidi ya Mashujaa Fc imetangaza kuwakosa mastaa wake Djigui Diarra sambamba na Cletous Chama kutokana na kusumbuliwa na majeraha waliyoyapata katika mchezo uliopita dhidi ya Tp Mazembe. Mchezo utakaofanyika leo katika uwanja wa Kmc Complex Jijini Dar es Salaam ambapo Yanga sc inapaswa kushinda ili kurejesha…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks