Ngoma - sportsleo.co.tz

Ngoma Kutua Misri

Kiungo mkabaji aliyemaliza mkataba wake katika klabu ya Simba Sc Fabrice Ngoma (31) anakaribia kujiunga na klabu ya Hassania d’Agadir kutoka Morocco muda wowote kuanzia sasa. Kiungo huyo mwenye uwezo wa kucheza katika eneo la ulinzi na ushambuliaji anaondoka nchini muda wowote kwenda nchini humo kukamilisha dili hilo la usajili ambapo atavuna pesa ndefu. Ngoma…

Soma Zaidi
FB IMG 1739298753715

Walibya Watua kwa Fabrice Ngoma

Kiungo wa klabu ya  Simba Sc Fabrice Ngoma amefikia makubaliano binafsi ya kujiunga na klabu ya Al-Ittihad Tripoli ya Libya. Tayari staa huyo amepokea ofa nono ya Mshahara na dau la usajili  (Sign-on fee) kutoka Al-Ittihad na tayari amesema ndio ambapo sasa imebaki kwa Simba sc kukubali uhamisho huo. Kilichobaki ni makubaliano kati ya Simba…

Soma Zaidi
Screenshot 20241115 201606 Instagram

Ngoma Ajiengua Simba Sc Mdogo Mdogo

Kiungo wa klabu ya Simba Sc Fabrice Ngoma ameanza kujiengua klabuni hapo mdogo mdogo kwa kuanza kufuta baadhi ya picha zake akiwa na jezi ya klabu hiyo katika mitandao yake ya kijamii. Ngoma amefuta asilimia kubwa ya picha akiwa na jezi ya Simba Sc katika mtandao wake wa Instagram huku pia akifuta utambulisho unaomuonyesha kuwa…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks