Yanga Sc Yamalizana na Chikola
Klabu ya Yanga Sc imekamilisha usajili wa winga wa Tabora United Offen Chikola kuelekea msimu ujao wa ligi kuu na michuano ya Kimataifa 2024-2025. Baada ya majadiliano ya pande mbili Yanga Sc wamemalizia vitu kadhaa na Tabora United Fc ambapo tayari Offen Chikola amesaini mkataba wa kuitumikia klabu hiyo. Kiwango bora alichoonyesha msimu huu uliomalizika…
