Screenshot 20250605 210318 Instagram

Pyramids Fc Yakomaa na Mayele

Klabu ya soka ya Pyramid Fc ya nchini Misri imeendelea kumshawishi mshambuliaji Fiston Mayele kusaini mkataba mpya ili kuendelea kusalia klabuni hapo baada ya kuridhishwa na kiwango chake msimu huu. Kwa mujibu wa mwanahabari Kutoka nchini Misri, Khaled El Ghandour, klabu hiyo imewasilisha ofa mpya ya mkataba kwa wawakilishi wa Fiston Mayele ambayo inaripotiwa kuwa…

Soma Zaidi
Screenshot 20250602 152516 Instagram

Mayele Abeba Tuzo Cafcl

Mshambuliaji Fiston Mayele ameibuka mshindi wa tuzo ya mfungaji bora wa michuano ya klabu bingwa barani Afrika (Cafcl) baada ya kufunga mabao sita akiwaacha Emam Ashour wa Al Ahly na Ibrahim Adel wa Pyramids wenye mabao matano kila mmoja. Fiston Mayele amewapiku wenzake baada ya kufunga bao la utangulizi kwa Pyramids kwenye mchezo wa Fainali…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks