Pyramids Fc Yakomaa na Mayele
Klabu ya soka ya Pyramid Fc ya nchini Misri imeendelea kumshawishi mshambuliaji Fiston Mayele kusaini mkataba mpya ili kuendelea kusalia klabuni hapo baada ya kuridhishwa na kiwango chake msimu huu. Kwa mujibu wa mwanahabari Kutoka nchini Misri, Khaled El Ghandour, klabu hiyo imewasilisha ofa mpya ya mkataba kwa wawakilishi wa Fiston Mayele ambayo inaripotiwa kuwa…
