Screenshot 20250525 204012 Instagram

Simba Sc Yapoteza Cafcc

Klabu ya Simba Sc imepoteza mchezo wa fainali ya pili ya michuano ya kombe la Shirikisho barani Afrika baada ya kukubali sare ya 1-1 dhidi ya Klabu ya Rs Berkane katika mchezo uliofanyika katika uwanja wa Amaani Visiwani Zanzibar. Awali katika mchezo wa kwanza uliofanyika katika uwanja wa Manispaa ya mji wa Berkane ilishuhudiwa Simba…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks