Senegal vs Morocco Fainali 1-0: Pape Gueye Azima Ndoto za Morocco na Kuwapa Senegal Ubingwa wa Kihistoria AFCON 2025 - sportsleo.co.tz

Senegal vs Morocco Fainali 1-0: Pape Gueye Azima Ndoto za Morocco na Kuwapa Senegal Ubingwa wa Kihistoria AFCON 2025

Usiku wa kuamkia leo, bara la Afrika limesimama kwa muda kushuhudia mtanange wa kukata na shoka uliopigwa katika dimba la Morocco. Mashabiki wa soka kote nchini Tanzania, kuanzia mitaa ya Kariakoo hadi kuta za “vibanda umiza” kule Mwanza na Mbeya, walikuwa na macho yao yote kwenye mchezo huu wa Senegal vs Morocco Fainali 1-0. Ilikuwa…

Soma Zaidi
Waliofuzu Africa Kombe la Dunia 2026 | sportsleo.co.tz

Waliofuzu Africa Kombe la Dunia 2026

Safari ya Kihistoria: Kutoka Jangwani hadi Amerika Kaskazini – Hawa ndio Waliofuzu Africa Kombe la Dunia 2026 Fainali za Kombe la Dunia la FIFA mwaka 2026, zitakazofanyika kwa pamoja nchini Marekani, Canada, na Mexico, zitakuwa za kwanza kuwashirikisha timu 48. Upanuzi huu umetoa fursa kubwa kwa Shirikisho la Soka barani Afrika (CAF), ambalo sasa lina…

Soma Zaidi
b24a2sm0566

Senegal Yatolewa Afcon 2024

Timu ya Taifa ya Senegal imetolewa katika michuano ya mataifa ya Afrika baada ya kukubali kipigo cha mabao 5-4 kwa penati dhidi ya timu ya Taifa ya Ivory Coast baada ya kutoka sare ya 1-1 katika dakika 90 za mchezo huo wa kufuzu robo fainali. Senegal ilikua ya kwanza kupata bao la mapema dakika ya…

Soma Zaidi
GettyImages 1927822503 scaled

Senegal Yafuzu 16 Bora Afcon 2024

Bingwa mtetezi wa Fainali ya Mataifa Afrika (Afcon) Timu ya Taifa ya  Senegal imetinga hatua ya 16 bora baada ya kuichapa Cameroon mabao 3-1 leo katika Uwanja wa Charles Konan Banny de Yamoussoukro mchezo wa kundi C ya michuano hiyo. Senegal imefuzu hatua hiyo ikiwa na pointi sita huku ikiwa imebakiza mechi moja tu dhidi…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks