1000547058

Yanga Sc Yainyuka Singida Black Stars

Klabu ya Yanga sc imefanikiwa kuchukua alama tatu katika mchezo wa ligi kuu ya Nbc nchini baada ya kuifunga Singida Black Stars kwa bao 1-0 katika mchezo uliofanyika katika uwanja wa New Amaan complex Visiwani Zanzibar. Mchezo huo uliokua unasubiriwa kwa hamu na mashabiki wa soka nchini ambapo kocha Miguel Gamondi aliwashangaza wengi akimuanzisha Dennis…

Soma Zaidi
Snapinsta.app 429358110 274832925641686 1601278622398245719 n 1080 1024x684 1

Rasmi Ihefu Yahamia Singida

Klabu ya soka ya Ihefu Fc ambayo imezoeleka kuwa na makazi yake mitaa ya Ubaruku Mbarali jijini Mbeya sasa imehamia mkoani Singida ambapo itatumia uwanja wa Liti kama uwanja wake wa nyumbani katika michezo ya ligi kuu ya Nbc inayoendelea nchini. Baadhi ya wananchi wa mkoani Singida walishiriki kuipokea timu hiyo ambayo iliwasili rasmi jana…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks