icon 75270105

Nigeria Yatinga Fainali Afcon 2023

Timu ya Taifa ya Nigeria imefanikiwa kutinga hatua ya fainali ya michuano ya mataifa ya Afrika yanayoendelea nchini Ivory Coast baada ya kuibuka na ushindi wa 4-2 kwa penati baada ya sare ya 1-1 katika dakika 120 za kawaida. Nigeria licha ya kumiliki mchezo huo iliwalazimu kusubiri mpaka dakika ya 67 ya mchezo kupata bao…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks