208326924

Stars Yainyuka Zambia

Bao pekee la Waziri Junior dakika ya 5 ya mchezo wa kuwania kufuzu kombe la Dunia mwaka 2026 nchini Marekani,Canada na Mexico limeipata timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) alama tatu muhimu katika mchezo dhidi ya Zambia uliofanyika katika uwanja wa Levy Mwanawasa Ndola nchini Zambia. Waziri alifunga bao hilo akipokea pasi nzuri ya…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks