452702812 18445208995052678 5963365773962642147 n

Tepsie Kusalia Azam Fc mpaka 2026

Klabu ya Azam Fc imeamua kumuongezea mkataba mchezaji wake Tepsie Evance kusalia kwenye viunga vya Azam Complex hadi mwaka 2026 baada ya kuongeza mkataba mpya wa mwaka mmoja katika ule wa awali uliokua unaisha mwaka 2025. Tepsie ambaye ni zao halisi la akademi ya klabu hiyo amerejea klabuni hapo msimu huu baada ya kumaliza muda…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks