Walibya Watua kwa Fabrice Ngoma
Kiungo wa klabu ya Simba Sc Fabrice Ngoma amefikia makubaliano binafsi ya kujiunga na klabu ya Al-Ittihad Tripoli ya Libya. Tayari staa huyo amepokea ofa nono ya Mshahara na dau la usajili (Sign-on fee) kutoka Al-Ittihad na tayari amesema ndio ambapo sasa imebaki kwa Simba sc kukubali uhamisho huo. Kilichobaki ni makubaliano kati ya Simba…
