Usajili real madrid 2025 - sportsleo.co.tz

Usajili Real Madrid 2025

Baada ya kukatishwa tamaa kwenye Kombe la Dunia la Vilabu, kumeibuka sakata la Usajili Real Madrid ambapo inakabiliwa na kazi kubwa ya kujenga upya kikosi chake kwa ajili ya mafanikio ya baadaye. Xabi Alonso ana jukumu zito la kufanya mabadiliko ya kimkakati kwenye kikosi ili kuhakikisha Los Blancos inarudi kwenye kilele cha soka la Ulaya….

Soma Zaidi
kizazi kipya chelsea shim mheuka, Chelsea - sportsleo.co.tz

Kizazi Kipya Katika Safu ya Ushambuliaji 2025 Kuiokolea Chelsea Mamilioni ya Pesa ya Usajili Mbeleni

Klabu ya Chelsea imejulikana kwa matumizi makubwa ya fedha katika soko la usajili, mara nyingi ikitumia mamia ya mamilioni ya pauni kuleta vipaji vya kimataifa Stamford Bridge. Hata hivyo, kuna matumaini mapya yanayoibuka kutoka ndani ya akademi yao ya Cobham, yakionyesha uwezekano wa klabu hiyo kuokoa kiasi kikubwa cha fedha katika siku zijazo. Matumaini haya…

Soma Zaidi
tetesi za usajili ulaya 2025 - sportsleo.co.tz

Tetesi za Usajili Barani Ulaya 2025

Mwezi Julai umekuwa na matukio mengi ya kusisimua tangu kufunguliwa kwa dirisha hili la usajili, tetesi za usajili barani ulaya 2025 zinapamba moto kila siku zinaibuka taarifa mpya zinazohusu wachezaji maarufu na vilabu vikubwa. Zikichochea mjadala na matumaini miongoni mwa mashabiki. Tumeona baadhi ya vilabu vikiweka ofa za kuvutia, huku wachezaji wakianza kujiandaa kwa sura…

Soma Zaidi
Screenshot 20250612 133050 Instagram

Azam Fc Kumtema Taoussi

Mabosi wa klabu ya Azam Fc  wamefikia makubaliano ya kutemana na kocha wao Rashid Taoussi pamoja na benchi lake la ufundi baada ya kuona kocha huyo hajafikia malengo ya klabu. Taarifa za uhakika ni kuwa Azam tayari wamepata kocha mpya kuelekea msimu ujao, ila makubaliano ya Azam na kocha Taoussi ni kumaliza huu msimu huu…

Soma Zaidi
pacome

Pacome Aibua Utata Yanga sc

Kiungo mshambuliaji wa klabu ya Yanga sc Pacome Zouzoua yupo kwenye mazungumzo ya kuongeza mkataba mpya klabuni hapo ambapo amedaiwa kuhitaji dau kubwa la usajili ili kusaini mkataba huo. Mkataba wa mchezaji huyo unafikia tamati mwishoni mwa msimu huu ambapo tayari mabosi wa klabu hiyo wameonyesha nia ya kumpa mkataba mpya wa miaka miwili lakini…

Soma Zaidi
images 9

Azam Fc Yatua kwa Mshery

Klabu ya Azam Fc imewasiliana na uongozi wa Kipa AbouTwalib Mshery ili kumsajili baada ya kushindwa kumbakisha kipa Mustapha Mohamed aliyeko kwa mkopo kutokea klabu ya El Merrekh Fc ya Sudan. Azam Fc inamuona Mshery kama chaguo sahihi katika mradi wao wa kuboresha kikosi Chao cha muda mrefu ambapo sambamba na mshahara mnono pia wamemuahidi…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks