Yanga Sc - sportsleo.co.tz

Yanga Sc Mabingwa Crdb Cup

Klabu ya Yanga sc imefanikiwa kuchukua ubingwa wa kombe la shirikisho la Crdb nchini baada ya kuifunga timu ya Singida Black Stars kwa mabao 2-0 katika mchezo uliofanyika Visiwani Zanzibar katika uwanja wa New Amaani Complex. Mchezo huo uliokua na burudani ya kutosha kutokana na kasi ya mchezo ulikua mgumu kutabiri nani ataibuka na ushindi…

Soma Zaidi
438169307 1009801477172450 4469432073433494381 n

Yanga sc Kukabidhiwa Kombe Mei 25

Klabu ya Yanga sc imepanga kukabidhiwa kombe la ubingwa wa ligi kuu wa 30 msimu huu na wadhamini wa ligi kuu bara benki ya Nbc siku ya Jumamosi Mei 25 katika mchezo wa ligi kuu nchini dhidi ya Tabora United utakaofanyika siku ya Jumamosi Mei 25 katika uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es salaam….

Soma Zaidi
438255331 1005717324247532 6685015358995811266 n

Yanga Sc Bingwa Ligi Kuu 2023/2024

Ikiwa bado na michezo mitatu mkononi klabu ya Yanga sc imefanikiwa kuibuka mabingwa wa ligi kuu ya soka ya Nbc nchini Tanzania baada ya kuifunga mabao 3-1 timu ya Mtibwa Sugar na kufanikiwa  kufikisha alama 71 ambazo haziwezi kufikiwa na timu yeyote hapa nchini. Yanga sc imefikisha alama hizo 71 katika michezo 27 ya ligi…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks