Benchika Atinga Tatu Bora
Kocha wa mpya wa Simba Sc Abdelhak Benchikha ameingia katika orodha ya makocha watatu bora wanaowania tuzo za CAF 2023 ambazo zitafanyika Jumatatu Desemba 11 jijini Marakechi nchini Morocco. Kocha huyo amefanikiwa kuingia katika hatua ya fainali akishindana na Walid Regraui ambaye ni kocha wa timu ya Taifa ya Morocco na Alidu Cisse ambaye ni…
