Waziri Jr Atua Iraq
Mshambuliaji wa timu ya Dodoma Jiji Fc Wazir Jr Shentembo amejiunga na Al Mina’a FC inayoshiriki Ligi Kuu ya nchini Iraq akiungana na Mtanzania Simon Msuva anayekipiga katika timu ya Al Talaba. Wazir Jr ambaye aliwahi kukipiga Yanga 2020/21 pamoja na klabu za Mbao Fc na Kmc amesaini mkataba wa miezi sita kujiunga na…
