Katwila Arudi Mtibwa Sugar
Sasa ni rasmi kocha Zubeiry Katwila amerudi katika klabu yake iliyomtoa ya Mtibwa Sugar baada ya kuachana nayo miaka mitatu iliyopita na kujiunga na Ihefu Fc yenye makazi yake jijini Mbeya maeneo ya Mbarali. Awali kabla ya kutambulishwa rasmi kikosini humo kocha huyo alizua gumzo baada ya kuamua kujiuzuru nafasi yake ya ukocha mkuu katika…
