Home Makala As Vita Wapokwa Ubingwa Congo

As Vita Wapokwa Ubingwa Congo

by Sports Leo
0 comments

Klabu ya As Vita imenyang’anywa ubingwa wa ligi kuu nchini Congo baada ya  kupokonywa pointi tisa kwenye ligi kuu  sawa na michezo (3) ambayo walimchezesha mchezaji Zao Matutala ambaye alikua amefungiwa.

Mchezaji huyo Zao Matutala ambaye kwa sasa amefungiwa amefungiwa miezi (12) kujihusisha na soka  alikuwa na kesi kipindi anachezeshwa na As Vita ambapo kesi ilikua katika mahakama ya michezo ya kimataifa(Cas) na sasa baada ya majibu kutoka amekutwa na hatia hivyo mechi zote tatu walizomchezesha wamenyang’anywa points.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited