Home Makala Yanga “Out” Mapinduzi Cup

Yanga “Out” Mapinduzi Cup

by Sports Leo
0 comments

Timu ya soka ya Yanga sc imetolewa kwenye michuano ya kombe la mapinduzi baada ya kufungwa kwa mikwaju ya penati na Mtibwa Sugar baada ya kutoka sare ya bao 1-1 ndani ya dakika 90.

Mtibwa walipata penati 4 huku yanga wakifunga 2 huku Kelvin Yondani na Abdulaaziz Makame wakikosa kwa upande wa Yanga na Abdulhalim Humoud akikosa kwa upande wa Mtibwa Sugar.

Waliofunga kwa upande wa Yanga ni Paulo Godfrey,Balama Mapinduzi huku Jafary Kibaya,Kibwana Shomari na Dickon Job wakipata mikwaju yao.

banner

Mtibwa walisawazisha goli la dakika ya 37 la Deus Kaseke kupitia kwa Kibwana Shomary dakika ya 90+3 na kuelekea Hatua ya matuta ambapo baada ya kuibuka na ushindi watasubiri mshindi kati ya Simba sc dhidi ya Azam fc ili kucheza fainali.

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited