Home Soka Aussem Atimka Simba sc

Aussem Atimka Simba sc

by Sports Leo
0 comments

Kocha Mkuu wa klabu ya Simba Patrick Aussems ameondoka leo asubuhi kuelekea nyumbani nchini Ubelgiji kwa kile kilichoelezwa kuwa ana matatizo ya kifamilia.

Habari kutoka klabuni hapo zinasema kuwa Aussems atakuwepo nchini humo kwa siku kadhaa na anategemewa kurejea kabla ya Novemba 24,ili kuiwahi mechi ya ligi kuu dhidi ya Ruvu shooting.

Kuondoka kwa kocha huyo mkuu kunamaanisha kwamba Kocha msaidizi Dennis Kitambi ndiye anayesimamia mazoezi kwa sasa akishirikiana na kocha wa viungo.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited