Home Soka GSM Wainogesha Yanga

GSM Wainogesha Yanga

by Sports Leo
0 comments

Wadhamini wa klabu ya Yanga kampuni ya GSM wameendelea kuboresha Makao Makuu ya klabu hiyo yaliyoko Mtaa wa Twiga na Jangwani ikiwa ni moja ya makubaliano ya kimkataba waliousaini hapo awali.

Yanga inakusudia kuanza kulitumia jengo hilo kwa ajili ya matumizi ya hostel za wachezaji ili kupunguza gharama za uendeshaji wa timu ambapo hukaa kambini hotelini.

Pia GSM wanatarajiwa kujenga duka kubwa kwa ajili ya kuuza bidhaa mbalimbali za klabu ya Yanga ambapo wanachama na wapenzi wa klabu hiyo watanunua kwa ujumla na rejareja.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited