Home Soka Himid Mao Wa Kimataifa

Himid Mao Wa Kimataifa

by Sports Leo
0 comments

Kiungo wa zamani wa Azam Fc Himid Mao Mkami amejiunga rasmi na timu ya ENPPI akitokea klabu ya Petrojet ya huko huko nchini Misri.

Mao mtoto wa kiungo wa zamani wa timu ya taifa Mao Mkami amejiunga na timu hiyo aliyokua akiichezea mtanzania mwingine Shiza Kichuya baada ya timu yake ya awali ya Petrojet kushuka daraja.

Mao ameichezea taifa stars toka ngazi ya vijana mpaka ya wakubwa na amefanikisha kuisaidia kushiriki michuano ya mataifa ya Africa(Afcon 2019) nchini Misri licha ya timu hiyo kutolewa katika hatua za awali.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited